Machapisho

MESEJI ZAKUMTUMIA MPENZI WAKO

Daima hujawahi shindwa kunifanya nitabasamu wakati wote.Najikuta nikishindwa kujizuia kutabasamu kila ninapofikiria kukuona ukirudi toka kazini.Wewe ni wangu, kipenzi cha nafsi yangu.Ninakuthamini sana mpenzi.Unanifanya nijisikie mwenye bahati sana kuliko wote.Natamani nikupe mabusu mazito kila ninapokuona.Nataka niamke pembeni yako siku zote za maisha yangu.Wewe ni mcheshi san

MESEJI NZURI ZAKUMTUMIA MPENZI WAKO AKUPENDE

Hata milele hainitoshi kuwa na wewe.Natamani ungekuwepo hapa ukanishika mkono na ukanivuta kwako.Nimekuwaza siku nzima. Ahsante kwa usiku mzuri kama ule.Sikuwahi kujua kuwa unaweza kummiss mtu hata kabla hajaondoka, mpaka nilipokujua wewe ndio nikaamini.Maisha yetu pamoja ni tafsiri ya upendo.Natumai uko na siku njema, mwenzio nashindwa kuacha kukuwaza muda wote.

MESEJI NZURI ZA KUMTUMIA MPENZI WAKO ILI AZIDI KUKUPENDA

Kila saa wewe ndiye chaguo langu.Unanifanya nijiamini sana mpenzi.Wewe ndiye baraka kubwa niliyowahi kuipata.Wewe ni mzuri sana aisee.Nikikuwaza tu, hata niwe na siku mbaya, itageuka kuwa nzuri tuMoyo wangu unakuhitaji sana sasa.Ninatamani ungekuwepo hapa na mimi.Ninavyokupenda jamani, acha tu!Ninajihisi mwenye bahati sana kukupata wewe kama rafiki wa karibu na mpenzi pia.

MTUMIE MPENZI WAKO MESEJI HIZI NZURI

Wewe ni kila kitu kwangu.Nitateseka bila wewe.Ninataka nikwambie tu kuwa ninakuwaza muda wote.Ninatamani kuwa mikononi mwako muda wote.Ninakupenda zaidi ya unavyofikiria.Unafanya mapigo ya moyo wangu yaende mbio nikikuona.Najisikia vizuri mno nikikuwaza mpenzi.Ninajihisi salama nikiwa nawe.Nikiwa mikononi mwako ninajihisi nimefika!Ulishaubeba moyo wangu na sitaki uurudishe.

MTAKIE USIKU MWEMA KWA MESEJI HIZI TAMUHakika mtoto umeumbika mithiri ya malaika japo mbinguni sijafika lakini nauhakika kwa kila mwanaume alie umbika na kukamilika akikuona lazima udenda utamtoka naomba japo yako dakika nipate kukueleza yamoyoni jinsi yalivyo nifika kwani siwezi tena kuficha jinsi ninavyo kupenda nakupenda amini kwako nimefika +++++++++++++++++++++++ Nimezunguuka pande zote za Tanzania macho nimeangaza kusaka mrembo wa kumkabidhi yangu nafsi na kulila tunda lake kwa nafasi huku nikimpa mahaba yangu ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye ungeniteka yangu nafsi nakupenda sweet +++++++++++++++++++++++ Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani ucheshi na mahaba yako nifananishe na nini kupata mfano wako hatotokea amini elewa Mimi ni wako sikuachi asilani ++++++++++++++++++++++++ Najiuliza kila Leo hivi ni Mimi tu kimeo katika dunia hii yaleo maana kila Leo ninaye mpata haishi kunipa ahadi kila Leo mpenzi kila siku waniahidi mala nitakupa Leo mala kabla ya mchweo hivi ni lini utanipa jibu la uhakika na kunipa mapenzi ya uhakika nipate kufarijika +++++++++++++++++++++++++ Usikimbie nyuki ukakosa asali utamu wa samaki ni kula na wali usizidishe siki akawa mkali ni Mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali je unaendeleaje sakafu wa moyo wangu

MESEJI ZAKUMTAMKIA MPENZI WAKO USIKU MWEMNajiuliza kila Leo hivi ni Mimi tu kimeo katika dunia hii yaleo maana kila Leo ninaye mpata haishi kunipa ahadi kila Leo mpenzi kila siku waniahidi mala nitakupa Leo mala kabla ya mchweo hivi ni lini utanipa jibu la uhakika na kunipa mapenzi ya uhakika nipate kufarijika akupenda zaidi ya almasi inayochimbwa ardhini sipendi nikupoteze nikajutia moyoni naitaji nikuenzi kama mboni yangu jichoni Moyo unasikitika autoacha daima machozi yatiririka si usiku wala mchana huzuni imenishika kwa vile sijakuona I LOVE YOU BABYA